Rais wa Maurtania ahukumiwa kifungo cha Miaka 15 jela

-rickmedia: Saraphina Jerry

Saraphina Jerry

11 hours ago
rickmedia: rais-maurtania-ahukumiwa-kifungo-cha-miaka-jela-864-rickmedia

Mahakama ya rufaa nchini Mauritania imemhukumu Rais mstaafu, Mohamed Abdel Aziz kifungo cha miaka 15 jela na faini ya dola milioni 3 baada ya kukata rufaa kupinga kifungo cha miaka mitano.

Aziz alihukumiwa mwaka wa 2023 kwa utakatishaji fedha ambapo akiwa madarakani, alijipatia mali yenye thamani ya Dola milioni 70 [TZS bilioni 188.8].