Harmonize Amejikatia Tamaa Mapema Kuwania Ubunge Adai hana vigezo

-rickmedia: Lanka Ting

Lanka Ting

20 hours ago
rickmedia: harmonize-amejikatia-tamaa-mapema-kuwania-ubunge-adai-hana-vigezo-140-rickmedia

Staa wa Muziki #Harmonize ambae hapo mwanzo alitangaza kuwa atachukua Fomu kwa ajili ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Tandahimba, Mtwara Amesema kuwa kutokana na Sheria za Chama cha #CCM na Bunge hajioni kama mtu mwenye vigezo.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika..

"Nimepitia Sheria za Kamati Yaa Maadili Ya Chama & Bunge

Simuoni KONDEBOY Kwaninavyoona Hata Kusema

BOMBOCLAAAATY Sitoruhusiwa 😂 Niwapongeze wana @ccmtanzania mliojitoa Kutangaza Nia ZaKugombea Nafasi Tofauti Tofauti Especially Vijanaa 👏 DINI YENYE WAFUASI WENGI UJUE INAKUBALIKA !!! Tandahimba Chaguani Kiongozi Bora Atake Msaidia RAIS wetu miaka 5️⃣ Ijayo!!!!!!! am Hungry for the Grammy & More Success Music"