Kamanda msaidizi wa Jeshi la Polisi mkoani Mbeya, Wilbert Siwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo leo Septemba 6, 2024.
Hitilafu hii inakuja ikiwa ni Wiki moja tangu Kenya iliporipoti tatizo la kukatika tena kwa Umeme
Samuel na Samson wenye Miaka 24 na 21 wanatajwa kuwafanyia vitendo vya aina hiyo Watu wengine 38
Aidha, Paul Kisabo akizungumza na Waandishi wa Habari Septemba 5, 2024 amesema kuwa Kesi ya Fatma imehairishwa hadi Oktoba 7, 2024
Taarifa zaidi imeeleza Wanafunzi 15 walifariki ndani ya Bweni, mmoja amefariki wakati akipelekwa Hospitali.