Mgombea Amwaga Machozi Baada ya Kushindwa Uchaguzi wa Chama

-rickmedia: Lanka Ting

Lanka Ting

2 months ago
rickmedia: mgombea-amwaga-machozi-baada-kushindwa-uchaguzi-chama-453-rickmedia

Mgombea wa Chama Cha National Unity Platform (NUP) cha Uganda Akimwaga Machozi baada ya Kushindwa kupata Tikite ya Chama kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo.

#MosesNsereko alishindwa kujiuzia baada ya kushika Nafasi ya 9 kati ya wagombea 10 kwenye kura za Mchujo za Chama ili kugombea katika Jimbo la Kawempa North.

Kitu hicho kiliachwa wazi baada ya Mgombea #Ssegirinya ambae alishinda kwa Tiketi ya Chama hicho kufariki January 9.2025.