Muigizaji Johnny Wactor afariki Dunia kwa kupigwa risasi

-rickmedia: Saraphina Jerry

Saraphina Jerry

8 months ago
rickmedia: muigizaji-johnny-wactor-afariki-dunia-kwa-kupigwa-risasi-998-rickmedia

Muigizaji wa zamani wa General Hospital, Johnny Wactor aliuawa kwa kupigwa risasi katikati mwa jiji la Los Angeles siku ya Jumamosi, kulingana na wakala wake na shirika la CNN KABC.

Muigizaji huyo, ambaye aliigiza kama Brando Corbin katika tamthilia ya Hospital Soap Opera, alipigwa risasi alipokuwa akitoka kazini mapema Jumamosi asubuhi, mama yake aliiambia KABC.