Selena Gomez Amwaga Machozi Kisa Wahamiaji kufukuzwa Marekani

-rickmedia: Lanka Ting

Lanka Ting

1 week ago
rickmedia: selena-gomez-amwaga-machozi-kisa-wahamiaji-kufukuzwa-marekani-864-rickmedia

Msanii Selena Gomez alijikuta akilia kutokana na sera za uhamiaji za Donald Trump na jinsi zinavyoathiri watu wake. Kupitia ukurasa wa Instagram wa Staa wa Muziki #SelenaGomez alishare video akimwaga machozi kisa tishio la Rais wa Marekani #DonaldTrump la kuwafukuza wahamiaji kwa wingi, ambalo limeibua hofu ya kutenganishwa kwa familia za wengi.

Staa huyo mwenye miaka 32 aliyezaliwa Texas Familia yake ilihamia Marekani Mwaka 1970 wakitokea Mexico.