Aziz Ki na Hamisa Mobetto washinda tuzo Nchini Kenya

-rickmedia: Saraphina Jerry

Saraphina Jerry

17 hours ago
rickmedia: aziz-hamisa-mobetto-washinda-tuzo-nchini-kenya-91-rickmedia

Mwanasoka #AzizKi na Mkewe ambaye ni Mwanamitindo na Mfanyabiashara #HamisaMobetto wameshinda tuzo za East Africa Arts Entertainment Awards #EAEA zilizotolewa Nchini Kenya.

#Hamisa ndiye aliyezipokea tuzo hizo zote mbili walipoletewa Nchini kutoka Kenya, amepokea yake aliyoshinda kupitia kipendele cha (BEST FASHION-ICON CELEBRITY AFRICA) na kupokea kwa niaba ya mumewe #AzizKi aliyeshinda kupitia kipengele cha (BEST SPORTS PERSONALITY ) . Hongera kwa wanandoa hao.