Jux kuitikisa Nigeria kwa kupiga Show ya Kibabe Dec 18,2025

-rickmedia: Rick

Rick

8 hours ago
rickmedia: jux-kuitikisa-nigeria-kwa-kupiga-show-kibabe-dec-182025-144-rickmedia

Baada ya kupata mapokezi makubwa hivi karibuni nchini Nigeria Mwanamuziki kutoka Tanzania @juma_jux ataendelea kuwapa tiba ya burudani wakazi wa Nigeria mwezi December 2025

Jux anatarajiwa kutumbuiza mnamo December 18,2025 Akiwaalika wasanii mbalimbali kutoka kila pande ya Afrika huko Jijini Lagos, Nigeria.