Mchekeshaji maarufu nchini Tanzania MC PILIPILI amefariki dunia akiwa huko Jijini Dodoma. Taarifa hizo zimethibitishwa na mmoja kati ya mwanafamilia ambaye hakusema chanzo cha kifo chake.
Tazama Video hii chini kutazama alichokisema ndugu yake
Rick
Mchekeshaji maarufu nchini Tanzania MC PILIPILI amefariki dunia akiwa huko Jijini Dodoma. Taarifa hizo zimethibitishwa na mmoja kati ya mwanafamilia ambaye hakusema chanzo cha kifo chake.
Tazama Video hii chini kutazama alichokisema ndugu yake