Mwanamuziki 'The Weeknd' amevunja rekodi ya Bad Bunny kwenye mapato ya ziara za muziki (Tour).
Kwani Imeripotiwa Kwamba Ziara Ya The Weeknd "After Hours til Dawn Tour" imeingiza Kiasi Cha $124.4M (takriban TSh Bilioni 320/=) mwezi Julai pekee, huku akiuza karibu tiketi 900,000.
Hii inamfanya avunje rekodi ya Bad Bunny ya $123.7M (Takriban TSh Bilioni 327.5/=) ya mapato makubwa zaidi kwa mwezi mmoja kwa msanii wa kiume (solo) kwenye Chati Za Billboard Top Tours.