Mtoto Ajiua Kwa Risasi, Baba Afikishwa Mahakama Kwa Kuua Bila Kukusudia

-rickmedia: Lanka Ting

Lanka Ting

1 year ago
rickmedia: mtoto-ajiua-kwa-risasi-baba-afikishwa-mahakama-kwa-kuua-bila-kukusudia-229-rickmedia

Baba mmoja wa Pennsylvania amefunguliwa mashtaka baada ya mtoto wake wa kiume wa miaka 3 kujipiga risasi na kujiua baada ya kukuta Bunduki iliyoachwa chini ya kochi, kulingana na maafisa.

#JoseHilarioAbreu, 28, alifikishwa mahakamani Ijumaa, Aprili 5, kwa mashtaka ya kuua bila kukusudia juu ya kifo mtoto wake kilicho tokea Machi 28, Elijah Abreu Borgen.