Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Mohamed Mchengerwa kuwa Waziri wa Afya.
Uteuzi huo umetangazwa leo Novemba 17, 2025 Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
Saraphina Jerry
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Mohamed Mchengerwa kuwa Waziri wa Afya.
Uteuzi huo umetangazwa leo Novemba 17, 2025 Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.