Mchezaji Kelvin John ajiunga na Klabu ya AAB ya Denmark akitokea KRC Genk

-rickmedia: Saraphina Jerry

Saraphina Jerry

1 year ago
rickmedia: mchezaji-kelvin-john-ajiunga-klabu-aab-denmark-akitokea-krc-genk-118-rickmedia

Mshambuliaji wa Taifa Stars, Kelvin John (21), amejiunga na klabu ya AaB Aalborg ya 1st Division nchini Denmark kwa mkataba wa miaka minne, akitokea KRC Genk ya Ubelgiji.

Kelvin ametangazwa na Klabu hiyo huku akitarajiwa kuongeza nguvu safu ya ushambuliaji ya AAB.