Harmonize alivyoingia uwanjani na binti yake 'Zuuh Konde'

-rickmedia: Saraphina Jerry

Saraphina Jerry

1 month ago
rickmedia: harmonize-alivyoingia-uwanjani-binti-yake-zuuh-konde-611-rickmedia

Staa wa Muziki Harmonize Aingia Uwanjani na Mtoto wake Zuuh kwenye Mashindano ya Samia Cup ambapo Timu yakeya Konde Gang inakipiga na Timu ya msanii wa Singeli nchin Sholo Mwamba 'Sholo The Rock'.


TAZAMA VIDEO HAPO CHINI