Mama mzazi wa Rapa Chiddy Benz afariki Dunia

-rickmedia: Saraphina Jerry

Saraphina Jerry

1 day ago
rickmedia: mama-mzazi-rapa-chiddy-benz-afariki-dunia-600-rickmedia

Mama Wa Msanii Wa Hip Hop Chid Benz ( Bi. Hawa ) amefariki Dunia Usiku Wa Kuamkia Leo Feb 11, 2025 .

Chid Benz na Kwa Masikitiko Makubwa amethibitisha Kuondokewa na Mama Yake Kipenzi .

Msiba Kwa Sasa Upo Nyumbani Kwao Chanika , Dar es salaam . Na Taarifa. Zaidi Zitatolewa na Familia .

Rick Media Tunatoa Pole kwa Familia , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi, Amen 🙏🏽